Mwanasheria mmoja alifanya mapenzi na mchepuko wake kwenye gari lake, basi yule msichana alifurahia sana lile tendo kiasi kwamba akasahau nguo yake ya ndani kwenye gari. Yule mwanasheria alipofika nyumban mke wake akampokea akaingia ndani, ile kipindi mwanamke anashusha mizigo kutoka kwenye gari, akaiona chupi ya mwanamke kwenye gariπ³, akaanza kupiga kelele kwa asira uku anaichana. Yule mwanasheria akatoka nje haraka haraka kuangalia kilicho tokea, akaanza kumfokea mke wake "We mwanamke umechana ushahidi wa kesi ya ubakaji na ni ya mamilioni*"...
*Mwanamke hapo hapo akapiga magoti akaanza kuomba msamaha*πππ
*Mwanasheria akili yake anaijua mwenyewe*πππ
No comments:
Post a Comment